Sunday, November 11, 2012

KUTOKANA NA KUTOKUWEPO HEWANI KWA MUDA BLOG YAKO INAYOMILIKIWA NA RADIO YAKO YA NYUMBANI RADIO VICTORIA FM INAOMBA RADHI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA NAKWAMBA SASA INAAHIDI KUKUPA MATUKIO YOTE YA KILA SIKU PAMOJA NA HABARI

 Mkurugenzi Mkuu wa radio Victoria FM 90.6 na Mkurugenzi mkuu wa idara ya ufundi akirekebisha  mnala ulikuwa na tatizo katika antenner lililotokana na Mvua kubwa zilizonyesha hapo jana

Wakati akiendelea na matengenezo tulipata nafasi ya kupiga picha hii ikiwa ni moja kati ya majukumu yetu yakila siku kuhakikisha tunakupa taarifa juu matengenezo yanayoendelea kwaajili ya kukufahamisha pia

 Kwa mujibu wa mkurugenzi wa Radio Victoria fm Bw, Big boss Jan quaas kufikia majira ya saa 11 za jioni hii leo kila  kitu kitakuwa sawa, Uongozi wa Radio Victroia FM unaomba radhi kwa usumbufu kwani hatukuwa hewani kwa dakika kadhaa.

1 comment: